
FASIHI YA WOTOTO KATIKA KUTEKELEZA MAHITAJI YA MTOTO KISAIKOLOJIA
Kiswahili
##common.published##: October 03, 2017
389
Article Views
All time
3871
Downloads
All time
0
Citations
Source: OpenAlex
Activity (views + downloads) over time
Citations by year
No citation data available yet.
Abstract
Lengo la makala haya ni kubainisha umuhimu wa fasihi ya watoto katika kutekeleza mahitaji yao kisaikolojia. Katika kufanya hivi tumezingatia masuala mbalimbali yanayohusu sifa bainifu za watoto pamoja na kujadili vipengele muhimu katika fasihi ya watoto na kuonesha jinsi vinavyochangia katika kumnufaisha mtoto kisaikolojia.