
Role of Indigenous Languages in the Development of County Governments in Kenya
Kioo cha Lugha
##common.published##: March 05, 2018
259
Article Views
All time
1091
Downloads
All time
0
Citations
Source: OpenAlex
Activity (views + downloads) over time
Citations by year
No citation data available yet.
Abstract
Makala hii inahakiki nafasi ya lugha za asili katika maendeleo ya Serikali za Kaunti nchini Kenya. Kaunti nane ziliteuliwa katika utafiti huu; nazo ni Meru, Bomet, Kericho, Nakuru, Baringo, Uasin Gishu, Nandi na Bungoma. Aidha, makala imebainisha kielelezo cha matumizi ya lugha kama zana ya maendeleo, hasa kwa kujikita katika kaunti teule. Hatimaye, katika makala hii tumefafanua manufaa na madhara ya kutumia lugha za asili katika maendeleo ya Serikali za Kaunti zilizoteuliwa.