
UTARATIBU WA KUTATHMINI MAKALA
Kioo cha Lugha
##common.published##: February 13, 2016
395
Article Views
All time
696
Downloads
All time
0
Citations
Source: OpenAlex
Activity (views + downloads) over time
Citations by year
No citation data available yet.
Abstract
KIOO CHA LUGHA ni jarida la kimataifa linalopitiwa na wataalamu na kuchapishwa na Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD). Jarida linachapisha makala za lugha, fasihi na isimu. Jarida huchapishwa katika juzuu moja kila mwaka. Makala inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.