UTARATIBU WA KUTATHMINI MAKALA

395 Article Views All time
696 Downloads All time
0 Citations Source: OpenAlex

Activity (views + downloads) over time

Citations by year

No citation data available yet.

Abstract

KIOO CHA LUGHA ni jarida la kimataifa linalopitiwa na wataalamu na kuchapishwa na Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD). Jarida linachapisha makala za lugha, fasihi na isimu. Jarida huchapishwa katika juzuu moja kila mwaka. Makala inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.