
TAHARIRI
Kioo cha Lugha
##common.published##: April 18, 2022
61
Article Views
All time
70
Downloads
All time
0
Citations
Source: OpenAlex
Activity (views + downloads) over time
Citations by year
No citation data available yet.
Abstract
Makala hizi za juzuu la 19 toleo la pili zinahusu mada mbalimbali kuhusiana na lugha na fasihi ya Kiswahili na lugha za Kiafrika. Makala ya Mkomwa inazungumzia uhusiano baina ya silika na utendaji wa wahusika wakuu wa fasihi ya watoto kwa kurejelea riwaya ya Ngoma ya Mianzi (Mulokozi, 1991/2018).