TAHARIRI

61 Article Views All time
70 Downloads All time
0 Citations Source: OpenAlex

Activity (views + downloads) over time

Citations by year

No citation data available yet.

Abstract

Makala hizi za juzuu la 19 toleo la pili zinahusu mada mbalimbali kuhusiana na lugha na fasihi ya Kiswahili na lugha za Kiafrika. Makala ya Mkomwa inazungumzia uhusiano baina ya silika na utendaji wa wahusika wakuu wa fasihi ya watoto kwa kurejelea riwaya ya Ngoma ya Mianzi (Mulokozi, 1991/2018).