
USAWIRI WA MASUALA IBUKA KATIKA FASIHI YA WATOTO: MIFANO KUTOKA KENYA
Mulika Journal
##common.published##: August 18, 2017
532
Article Views
All time
4036
Downloads
All time
0
Citations
Source: OpenAlex
Activity (views + downloads) over time
Citations by year
No citation data available yet.
Abstract
Fasihi ni zao la wakati katika jamii; jinsi jamii inavyobadilika ndivyo fasihi inavobadilika ili iweze kuyamulika masuala mapya yanayoibuka katika jamii husika kama vile, haki za binadamu, usawa katika jamii, madawa ya kulevya na mengine mengi. Kwa kuzingatia dhana ya hadithi-matini, makala hii imelenga kubainisha jinsi masuala ibuka yanajitokeza katika fasihi ya Kiswahili kwa watoto kwa lengo la kubainisha nafasi ya matini haya kama chombo cha kujenga uelewa na ufahamu kuhusiana na masuala ya kijamii.. Makala yatarejelea baadhi ya hadithi zilizoandikwa na waandishi mbalimbali kutoka Kenya.