
Motifu ya Hirizi katika Ushairi wa Kiislamu wa Kiswahili
Mulika Journal
##common.published##: August 11, 2017
432
Article Views
All time
4558
Downloads
All time
0
Citations
Source: OpenAlex
Activity (views + downloads) over time
Citations by year
No citation data available yet.
Abstract
Katika makala haya nitaangalia matumizi ya hirizi katika tenzi na kasida za Kiswahili zifuatazo: Kasida ya Burudai, Kasida ya Hamziyyah, Utenzi wa Siri li Asirali, Utenzi wa Fatumah, Utenzi wa Mwanakupona, Utenzi wa Rasilghuli, Utenzi wa Tambuka na Utenzi wa Kiatu. Tutaanza kwa kueleza maana ya hirizi, kisha matumizi ya hirizi katika jamii mbalimbali ulimwenguni, halafu mjadala kuhusu hirizi katika jamii ya Waislamu na kumalizia kwa kuangalia matumizi ya hirizi katika ushairi wa Kiswahili.