Motifu ya Hirizi katika Ushairi wa Kiislamu wa Kiswahili

432 Article Views All time
4558 Downloads All time
0 Citations Source: OpenAlex

Activity (views + downloads) over time

Citations by year

No citation data available yet.

Abstract

Katika makala haya nitaangalia matumizi ya hirizi katika tenzi na kasida za Kiswahili zifuatazo: Kasida ya Burudai, Kasida ya Hamziyyah, Utenzi wa Siri li Asirali, Utenzi wa Fatumah, Utenzi wa Mwanakupona, Utenzi wa Rasilghuli, Utenzi wa Tambuka na Utenzi wa Kiatu. Tutaanza kwa kueleza maana ya hirizi, kisha matumizi ya hirizi katika jamii mbalimbali ulimwenguni, halafu mjadala kuhusu hirizi katika jamii ya Waislamu na kumalizia kwa kuangalia matumizi ya hirizi katika ushairi wa Kiswahili.