
Majukumu na Athari za Nyimbo za Watoto katika enzi za Teknolojia ya Kidijiti: Mifano kutoka Nyimbo za Watoto nchini Tanzania
Mulika Journal
##common.published##: August 11, 2017
915
Article Views
All time
4370
Downloads
All time
0
Citations
Source: OpenAlex
Activity (views + downloads) over time
Citations by year
No citation data available yet.
Abstract
Karne ya 21 ina maendeleo makubwa katika nyanja ya sayansi na teknolojia ya habari na mawasiliano. Ni katika karne hii ambapo fasihi simulizi ya Kiswahili imeshuhudia kuingia kwa mambo mengi mapya yaliyougusa utanzu wake mkubwa na wa awali kabisa wa nyimbo za watoto za Kiswahili kiasi cha kuathiri uhalisia wake. Makala haya yanaangalia namna maendeleo ya teknolojia ya kidijiti yanavyoathiri nyimbo za watoto. Makala pia yanagusia kwa kifupi mustakabali wa nyimbo za watoto.